Picha za kusikitisha, Mauaji ya Hospitali ya Al-Shifa mjini Gaza.
Haya ni mauaji mapya, uvamizi katika hospitali ya Al-Shifa huko Gaza ambapo watu walikuwa wakisindikiza ndugu zao waliojeruhiwa
Wavamizi wameshambulia msafara wa magari ya wagonjwa kwenye mlango wa Hospitali ya Al-Shifa usafiri uliokuwa ukiwasafirisha majeruhi kwenye mpaka wa Rafah, na kusababisha vifo na mamia ya watu wasio na hatia.
Painful viewing, The massacre of Al-Shifa Hospital in Gaza City.
This is the new massacre , occupation bombing Al shifa hospital in Gaza were people were accompanying their enjured families
The occupation bombed an ambulance convoy at the entrance of Al-Shifa Hospital that was transporting injured to the Rafah crossing, resulting in the death and injury of dozens.
0 Comments